A.B.C FC
Hao ndio AFRICAN BANGI CHAKULA walikua story Kigamboni nzima nani asiye wajua anyooshe mkono juu.. Mimi leo ninachofanya ni kuwakumbusha chama tu ili watoto zetu waenzi timu hizi zilizosababishaga KIGAMBONI kujulikana kimichezo miaka hiyo;
1. ISMAIL TITO
2.TABU
3.MKUDE
4.MTI MKAVU
5.KIDISHI SWEDI
6.ISSA CHIBEDI
7.BEKA
8.MALOSHO
Wanaharakati tujitahidi kwa nguvu zetu zote ili michezo kigamboni isipotee maana hapa tulipo ni pabaya.. Leo KIGAMBONI haina hata timu ipo ligi daraja la tatu ni vitu vya kuangalia sana kwa makini
ilani: Majina ya baadhi ya wachezaji ni ya utani

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni