SAIGON FC
Vijana walikua hatari hawa balaa cjui cku izi soka la KIGAMBONI kwanini linakufa tunakosa kabisa timu ambazo zilikua zinatukosha wana KIGAMBONI hii ilikua moja ya timu ambazo zilikua balaa kwa kipindi icho.. staki niseme mengi leo acha niwakumbushe tu na kuweka historia kwa watoto wetu wakumbuke chama hili;
1.MAZIKU
2.JOSEPH KIBUBUTU
3.MBONDO
4.NAIJE
5.RAJABU
6.AFIZI NGUMI JIWE
7.JUMA KIBEKU
8.INNOCENT
9.OMARY NJANI
10.KIDISHI SWEDI
11.HAMISI KIBEKU
Kigamboni tunaweza kuleta mabadiliko makubwa kama tutaamua kushirikiana katika kuleta mabadiliko ya kimichezo ndani ya KIGAMBONI yetu pendwa na kuenzi timu hizi zilizopotea...

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni